Jumapili, 15 Septemba 2013

KUTANA NA KIJANA MWENYE KUKIJUA KIKONGO AISHIE TANZANIA[MKOLOLO]

 Aonekanaye katika picha ni kijana mtanzania mwenye kipaji cha kuongea lugha ya kikongo.kijana huyu ni mzaliwa wa apa nchini anayeishi nchini apa katika jiji la dar es salaam.jina lake halisi ni Junior benjamini au junior de swagg.Jina lake la kikongo ni "PAPAA MKOLOLO".Watu wengi hupenda kumwita kijana huyu papaaa mkololo.Kiana huyu au PAPAA MKOLOLO ni kijana ambaye alizaliwa Tanzania na kuishi nchini Kongo kwa kipindi kifupi ndipo alipopata ujuzi wa kuongea lugha hii.
    Chini ni baadhi ya picha zikimuonyesha kijana huyu katika poz tofauti tofauti
       


katika pozi
                          anaza pozi

PICHA OF THE DAY

mmiliki wa hii blogu[johnny haule]               

RAMA DEE FT LADYJAYDEE LYRICS, SONG:KAMA HUWEZI

        Verse 1: JayDee

Vipi mpenzi huoni mbali
Kweli huwezi kwenda mbali, na mie
Kweli mengi huletwa ndani
Si halali kuyapokea yote unitupie
Tutagombana kila siku mpenzi
Tutaudhiana kila siku ndani
Tutatishana kugawana mali
Bila kumjua mchawi wetu nani

Chorus:
Kama huwezi
Kuwa mkweli
Kamwe mpenzi mbele hatutofika mama
Kama pesa, zipo za kututosha ma X2

Verse 2: Rama Dee

Hizi lawama ziishie leo leo
Isifikie wakwe wanivue vyeo
Kwa gubu lako tu, mamii
Lawama zako zisinitie uchizi
Nibadili mipango yetu mingi
Hatutagombana tukifata yetu
Hatutaudhiana tukipanga yetu
Hatutafikia kugawana mali, mimi na wee

Rudia Chorus x 2

Tutagombana kila siku mpenzi
Tutaudhiana kila siku ndani
Tutatishana kugawana mali
Bila kumjua mchawi wetu nani

Hatutagombana tukifata yetu
Hatutaudhiana tukipanga yetu
Hatutafikia kugawana mali
Mimi na we

Rudia chorus x 2