Jumatatu, 9 Septemba 2013

FUSE ODG IN BONGO JANA

Msanii maarufu nchini Afrika anayefahamika sana na stahili yake ya kucheza iitwayo "azonto" Fuse Odg kutoka nchini ghana alifanya show ya kihistoria nchini apa katika viwanja vya ustawi wa jamii ndani ya jiji la dar es salaam.Msanii huyu anaishi nchini uingereza ndiko makazi yake yalipo.
   zifuatazo ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati wa show hiyo
             Bband walikuwepo
                        madee&chid wakiangusha balaa
                  janjaroooo
         mashabiki wakimshabikia fuse odg

             wakazi
          hbaba akiwasha moto
              jux alikuwepo

              marcochalii
                   watu walifulika
               aika nahreal kama kawaida yao


       itzzzzzzzz   fuseeeeeeeee
            fuse odg

Maoni 1 :