Msanii maarufu nchini Afrika anayefahamika sana na stahili yake ya kucheza iitwayo "azonto" Fuse Odg kutoka nchini ghana alifanya show ya kihistoria nchini apa katika viwanja vya ustawi wa jamii ndani ya jiji la dar es salaam.Msanii huyu anaishi nchini uingereza ndiko makazi yake yalipo.
zifuatazo ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati wa show hiyo
Bband walikuwepo
madee&chid wakiangusha balaa
janjaroooo
mashabiki wakimshabikia fuse odg
wakazi
hbaba akiwasha moto
jux alikuwepo
marcochalii
watu walifulika
aika nahreal kama kawaida yao
itzzzzzzzz fuseeeeeeeee
fuse odg





















tshaaaaa
JibuFuta