Jumamosi, 5 Julai 2014

DAIMOND_PLATNUM ARE 4REVER.....

Staa wa muziki wa kizazi kipya nchini maarufu kwa jina la daimond_platnum au Nassib Abdul alikuwa mshindi wa pili katika tuzo za watu weusi duniani alimaarufu kama BET ambapo aliweza kukutana na wanamuziki mashuhuri duniani kama Neyo,Nelly na wengine kibao ambapo pia daimond alihaidi kuwa nao na kufanya nao kazi baadhi ya wasanii hao zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio akiwa na Nelly wakinena mawili matatu ni pale alipokutana na Neyo akiwa na DMK ambaye alikuwa mwenyeji wake moja ya pozi akiwa na mke wa marehemu Mr.big

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni