Staa wa muziki wa kizazi kipya nchini maarufu kwa jina la daimond_platnum au Nassib Abdul alikuwa mshindi wa pili katika tuzo za watu weusi duniani alimaarufu kama BET ambapo aliweza kukutana na wanamuziki mashuhuri duniani kama Neyo,Nelly na wengine kibao ambapo pia daimond alihaidi kuwa nao na kufanya nao kazi baadhi ya wasanii hao zifuatazo ni baadhi ya picha za matukio

akiwa na Nelly wakinena mawili matatu

ni pale alipokutana na Neyo

akiwa na DMK ambaye alikuwa mwenyeji wake

moja ya pozi

akiwa na mke wa marehemu Mr.big
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni