Jumapili, 16 Novemba 2014

REKODI MPYA YA CRISTIAN RONALDO ALIYOIWEKA WIKI HII

Cristiano Ronaldo ameifungia Ureno goli la ushindi dhidi ya Armenia Nov 14, 2014 na Goli hilo limemfanya afikishe jumla ya magoli 23 katika michuano ya ulaya na hivyo kuweka rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa michuano hiyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni