Jumanne, 5 Agosti 2014

AY asema wanachokifanya WHITEHOUSE

Rapper Ambwene Yessaya ambaye yupo jijini
Washington DC, Marekani pamoja na wasanii
wengine, leo wanatumbuiza mbele ya viongozi
mbalimbali wa Marekani na Africa. Show hiyo
inafanyika kwenye ukumbi wa Newseum mjini
DC Jana (juzi) ilikuwa ni tour ya kwenda white
house na nini, kuelezewa mambo ya mule ndani
na baadaye usiku tukafanya rehearsal mpaka
usiku wa manane,” AY aliiambia Bongo5 jana.
“Leo (jana) sasa ndo kila kitu, watu tunakutana
kwaajili ya kujadili na baada ya hapo tutafanya
show leo usiku. Chochote kitakachojadiliwa
nitawajuza. Kesho pia ni kuna mkutano
mwingine, pia viongozi mbalimbali marais wako
hapa wanawasili na mwenyeji mkuu yuko hapa,
kesho pia kutakuwa kuna dinner white house,”
alisema.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni