Taarifa kutoka ofisi ya Rais kuhusu maneno
yanayosemekana kwamba Rais Jakaya Kikwete
kushiriki kusaidia kumwokoa mwanae ambaye ni
mbunge wa jimbo la Chalinze Mheshimiwa
Ridhiwani Kikwete baada ya kukwamatwa na
dawa za kulevya nchini China.Pia office ya raisi imetoa maelezo hayo kupitia hati zionekanazo chini hapa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni