Jumapili, 27 Julai 2014

#NEWS: Mtangazaji wa 102.5 Choice FM kuiwakilisha Tanzania kwenye kongamano la Obama

U.S. Embassy Public Affairs Officer Ms. Marissa Maurer kushoto akikabithi ticket kwa Mtangazaji kutoka Clouds Media group (Choice FM 102.5)  Louissa Babbie Kabae ambae pia ni brand Manager kushiriki kwenye U.S. Commitment to Africa Reporting Tour kuanzia July 26 through August 8 nchini Marekani.
Kabae ataungana na Waandishi wengine zaidi ya 20 kutoka nchi mbalimbali Afrika kwenye tour Washington DC na kwenye jiji la Atlanta kwa ajili ya U.S – African Leaders Summit and Young African Leadership Initiative (YALI) Forum hosted by President Obama.
These two initiatives build on, and seek to further strengthen partnership between United States and Sub-Saharan Africa  in strengthening democratic institutions, accelerating economic growth,  promoting trade and investments, advancing peace and security and investing in the next generation of African leaders. For more information about the events visit.Screen Shot 2014-07-26 at 5.46.05 AM

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni